Viongozi wa Chadema wameamua kuungana kwenda kusheherekea viongozi wao waliokuwa segerea kwaajili ya kuwatia moyo na kuonyesha umoja wao hayo yamesemwa na Patrick Sosopi maimu mwenyekiti wa BAVICHA
Vile vile amesisistiza kuwa majaribio yanayofanywa kuifuta chadema hayatawezekana, na kusema kuwa kuna mtu ambae anatumwa na serikali kwaajili ya kukichafua chama hiko cha upinzani.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment