AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, May 2, 2018

Mahakama yaamuru Waziri Mkuu ajiuzulu na kulivunja bunge!

Mahakama ya Katiba nchini Gabon imemuamuru Waziri Mkuu wa nchi hiyo kujiuzulu na kuvunja bunge baada ya uchaguzi uliokuwa umepangwa kufanyika weekend iliyopita kuchelewa.

Mahakama hiyo imeeleza kuwa Waziri Mkuu huyo Emmanuel Issoze-Ngondet na bunge la nchi hiyo halitambuliki tena kwasababu walichelewa kufanya uchaguzi kwa mujibu wa sheria.

Pia mahakama hiyo imemuamuru Rais wa nchi hiyo Ali Bongo kumtangaza Waziri Mkuu wa Mpito mpaka hapo uchaguzi utakapopangwa.

No comments :

Post a Comment