Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, November 27, 2018

MFAHAMU MWANAUME ANAYEKULA MAYAI NA MAGANDA YAKE!

Isaac Nyamwamu amekuwa akila mayai na maganda yake kwa miaka minane sasa.
Mayai ya kuchemsha ni mlo muruwa ambao unaweza kuliwa wakati wowote wa siku. Isaac Nyamwamu,mkaazi wa mtaa wa Roysambu viungani mwa jiji la Nairobi Nchini Kenya amevumbua mbinu ya kupata utamu wote kutoka kwenye mayai.

Nyamwamu anakula mayai na maganda yake. Anasema kuwa kwa miaka minane amekuwa akila mayai namna hiyo.

/ BBC

No comments :

Post a Comment