Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Taifa wamemchagua Mwami Ruyagwa Kabwe Zitto Zuberi kuwa KIONGOZI WA CHAMA kwa kura. 276 sawa na asilimia 73.6%
Ismail Jussa Ladhu amepata kura 91 sawa na asilimia 24.2%
Kura 8 zimekataliwa
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Taifa wamemchagua Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa kwa kura 337 sawa na asilimia 93.35%
Yeremia kulwa Maganja amepata kura 20 sawa na asilimia 5.55%
Shilungushela KAHEZA NYANGAKI amepata kura 4 sawa na asilimia 1.10%
Kura zilizokataliwa 2
Maharagande.
No comments :
Post a Comment