Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM MKoa wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akizungumza nao katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Kaskazini iliopo Mahonda leo Julai 01,2020. Makamu wa Rais yupo katika ziara ya Kichama Mkoa wa kaskazini Unguja. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ya Mkoa wa Kaskazini Unguja katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Kaskazini iliopo Mahonda Unguja leo Julai 01,2020. Makamu wa Rais yupo katika ziara ya Kichama Mkoa wa kaskazini Unguja. kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja Idi Ali Ame.
No comments :
Post a Comment