Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, December 12, 2015

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGA MAFUNZO YA ZIMAMOTO NA UOKOAJI CHUO CHA UONGOZI JKT KIMBIJI

Gwaride la Wahitimu wa Mafunzo yaKozi ya Awali ya Sajini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji likipita mbele ya mgeni Rasmi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (hayupo pichani) wakati wa kufunga mafunzo hayo katika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akisalimiana na Uongozi wa Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji pamoja na Maofisa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakati alipowasili Chuoni hapo kufunga mafunzo ya Sajini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kozi ya Awali yaliyofanyika hayo Chuoni hapo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, akikagua Gwaride la Heshima lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Awali ya Sajini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji yaliyofanyika katika Chuo cha yaliyofanyika katika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji, jijini Dar es Salaam.
Muhitimu wa Mafunzo ya Kozi ya Awali ya Sajini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Semeni Daudi Chiunda, akipokea zawadi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, kutokana na kuwa Mhitimu Bora katika kipingere cha Ukakamavu wakati wote wa Mafunzo yaliyofanyika katika Chuo cha Uongozi JKT Kimbiji jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Abubakari Akida, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).

ASKARI 482 WA JESHI LA ZIMAMOTO WAHITIMU MAFUNZO YA AWALI YA FANI HIYO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili akikagua gwaride la askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Jumla ya askari 482 wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wamehitimu mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji yaliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kimbiji. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili akipokea heshima toka kwa askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (hawapo pichani).
Meza Kuu ya viongozi kutoka vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama ikipokea heshima toka kwa wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
Baadhi ya Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiwa katika gwaride la kuhitimisha mafunzo hayo yaliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)  Kimbiji.
Baadhi ya ndugu na jamaa wa Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiwa katika hafla ya kuhitimisha mafunzo hayo yaliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)  Kimbiji.
Baadhi ya Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiwa katika gwaride la kuhitimisha mafunzo hayo yaliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)  Kimbiji.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili (katikati) akikabidhi cheti kwa baadhi ya askari waliofanya vizuri kwenye mafunzo hayo ya askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili (katikati) akikabidhi cheti kwa baadhi ya askari waliofanya vizuri kwenye mafunzo hayo ya askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.



Baadhi ya ndugu na jamaa wa Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiwa katika hafla ya kuhitimisha mafunzo hayo yaliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)  Kimbiji.
Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakicheza sarakasi kuonesha wanavyomudu fani mbalimbali.
Askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakicheza kareti kuonesha kumudu mafunzo ya kujilinda wawapo kazini.
Baadhi ya askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kuokoa watu katika ajali.
Baadhi ya askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kuokoa watu katika ajali.

Baadhi ya askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kuokoa watu katika ajali.
Baadhi ya askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakionesha namna wanavyofanya kazi zao kwa vitendo.
Baadhi ya askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kuokoa watu katika ajali.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Pius Nyambacha akizungumza katika hafla ya Askari wa Kikosi hicho kuhitimu mafunzo ya awali ya Jeshi hilo iliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa Kimbiji.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili akizungumza katika hafla ya Askari wa Kikosi hicho kuhitimu mafunzo ya awali ya Jeshi hilo iliyofanyika nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa Kimbiji.

Picha ya pamoja ya mgeni rasmi na wahitimu pamoja na viongozi wa menza kuu katika hafla hiyo.
Picha ya pamoja ya mgeni rasmi na wahitimu pamoja na viongozi wa menza kuu katika hafla hiyo.

*Imeandaliwa na www.thehabari.com

No comments :

Post a Comment