zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, January 31, 2018

HOTUBA NZITO YA RAILA ODINGA BAADA YA KUAPISHWA


RAILA ODINGA NAE AJIAPISHA, KENYA INA MARAISI WAWILI


RAILA ODINGA na adhabu baada ya kujiapisha


Hivi ndivyo ilivyokuwa Uapishwaji wa Odinga Nchini Kenya


RAILA ODINGA AJIAPISHA KUWA RAIS WA KENYA!

Kiongozi  wa upinzani Raila Odinga (NASA) ameapishwa kuwa ‘Rais wa Wananchi’ wa Kenya licha ya kugomea uchaguzi mkuu wa marudio nchini humo.

Raila Odinga amefika  leo katika Uwanja wa Uhuru Park pamoja na viongozi wengine wakuu wa NASA akiwemo Moses Wetangula na Musalia Mudavadi na kujiapisha akishika Biblia.

Aidha, mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka wa Chama Cha Wiper hakuwepo wakati wa kuapishwa kutokana na kuhofia kukamatwa, ambapo Odinga amesema ataapishwa baadaye.

“Odinga amesema leo ni siku ya kihistoria kwa Kenya, hatua ya leo ni kuelekea kutoa udikteta na kuleta demokrasia Kenya, maelekezo mengine mtayapata baadae,” alisema Odinga baada ya kuapishwa. Awali Raila Odinga aliiambia kituo cha habari cha KTN kwamba shughuli hio ‘ si mapinduzi ya serikali’

Raila aligomea uchaguzi huo kwa sababu za kusema kuwa tume ya Uchaguzi nchini humo si ya Uhuru na haki. Uchaguzi huo wa marudio ulikuja baada ya Mahakama ikiongozwa na Jaji Maraga kutengua Uchaguzi wa awali uliofanyika 8 Agosti.

Katika uchaguzi huo wa Oktoba, Rais Kenyatta alitangazwa mshindi akiwa na kura 7.5 milioni ambazo ni sawa na asilimia 98 ya kura zilizokuwa zimepigwa.

Waliojitokeza kushiriki uchaguzi huo walikuwa 39% kati ya waliojiandikisha kupiga kura. Kenyatta aliapishwa kuwa Rais wa Kenya baada ya uchaguzi wa marudio mnamo tarehe 28/11/2017.

KUTOKA MAGAZETI YA TANZANIA YA LEO TAREHE 31 JANUARY, 2018!!


Tuesday, January 30, 2018

Raila Odinga sworn in as the people’s president in record time - 2018!


Blue moon, supermoon, total lunar eclipse rolled into one!


Dk Slaa, JPM wakutana kwa mara ya kwanza Ikulu!


KUTOKA MAGAZETI YA TANZANIA YA LEO TAREHE 30 JANUARY, 2018!!




Monday, January 29, 2018

Dk Slaa, JPM wakutana kwa mara ya kwanza Ikulu!

Rais John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi mteule, Dk Willibrod Slaa, Ikulu Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Januari 29, mwaka 2018 na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa imesema Dk Slaa amemshukuru Rais kwa kumteua kuwa Balozi na kuahidi kuwa yupo tayari kutekeleza majukumu atakayopangiwa kwa kutanguliza maslahi ya Taifa.

Woman fined, jailed for driving too slow in China!

  • The 39-year-old tourist called the police 'cruel'.
A Chinese tourist spent 15 hours in jail in Hull, East Yorkshire, England, after she was held for driving too slow. Qiaoyon Wang was on her way to visit friends in Hull and was driving a rented car on a highway in Hessle on Wednesday when police stopped her for driving at 40mph in a 70mph zone. 

Woman calls ambulance service over cracked egg!


  • The woman seeks help from the service.
In a bizarre incident, a Nottingham woman made a desperate call to the ambulance services over a cracked egg.

In the audio recording of the call posted on Facebook by the East Midlands Ambulance Service (EMAS), an unnamed woman can be heard seeking advice.

"I have a box of eggs in the fridge. One of them was cracked so I moved the eggs into the lid of the box. And the box has been open in the fridge overnight. Can you keep a box of eggs open in the fridge?" the woman can be heard saying.

Man's severed head found, search for body on!


  • He was brutally murdered by unidentified persons after he left his home to buy medicines.
A severed head of a man was found in Telangana's Nalgonda town on Monday, police said.

The decapitated head was kept on the wall of a roadside religious structure in Bottuguda area of the town. Shocked residents informed police after spotting the head.

TUJIKUMBUSHE: PEMBA YANG'ARA: HII NI HOSPITALI MPYA YA ABDALLAH MZEE!


Sunday, January 28, 2018

I tweet from bed sometimes, Donald Trump says!

  • Trump frequently uses Twitter to announce policy, assail his adversaries and to tangle with countries.
US President Donald Trump, who has garnered a large following on social media with rambunctious postings, said he sometimes tweets from bed, though he occasionally allows others to post his words.

Blasts heard near military academy in Afghan capital!

  • The blasts occurred days after an ambulance bomb in the centre of Kabul killed more than 100 people.
A series of explosions hit an area near the Marshal Fahim military academy in the Afghan capital, Kabul, early on Monday, a witness said.

Prince Alwaleed's daughter tweets joy after his release!

  • The prince is ranked among the richest people in the world.
The
daughter of Saudi billionaire Prince Al-Waleed bin Talal on Sunday tweeted a picture of her father, expressing happiness at his release from detention, in the first reaction from a family member.

"You've lit up the world, you are my world," Reem bint Al-Waleed tweeted, posting a picture of her father sporting a beard.

Grammys 2018: Full List Of Winners!

Wayne Sermon, from left, Daniel Platzman, Dan Reynolds, Ben McKee of Imagine Dragons arrives at the 60th annual Grammy Awards at Madison Square Garden on Sunday, Jan. 28, 2018, in New York.AP

  • Most stars wore black and a Time's Up pin in support of the movement at the Golden Globes earlier this month.
Here's the full list of winners of the 60th Grammy Awards

Best Pop Solo Performance: Ed Sheeran, Shape of You

Best Pop Vocal Album: Ed Sheeran, Divide

Best New Artist: Alessia Cara

Best Pop Duo/Group Performance: Portugal. The Man, Feel It Still

KUTOKA MAGAZETI YA TANZANIA YA LEO TAREHE 29 JANUARY, 2018!!




THE LIVES OF GHETTO KIDS IN BRAZIL!


Police: Gunman who killed 4 at car wash on life support!


In this frame from video, police work at the scene of a fatal shooting at a car wash in Melcroft, Pa., Sunday, Jan. 28, 2018. (WPXI via AP)

A man opened fire and killed four people at a car wash early Sunday morning in Pennsylvania, while another woman suffered only minor injuries after she hid in the back seat of a truck during the shooting, state police said.

RAIS SHEIN ATOA MSIMAMO WAKE KUHUSU MUDA WA KUKAA MADARAKANI!

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohammed Shein amesema hayupo tayari kuongeza muda wa uongozi kutoka miaka mitano hadi saba kwani kufanya hivyo ni kukiuka katiba ya Zanzibar.
Dkt Shein amesisitiza kwamba, aliapa kuilinda katiba ya Zanzibar hivyo hawezi kubadilisha muda wa uongozi na hakuna mtu atakayemfanya abadilishe au amvutie yeye kuendelea kukaa madarakani.

Msikiti wa kisasa utakaobeba waumini 500 kujengwa Chanika!



Mwakilishi wa Masjid Rahman kutoka nchini Oman, Nasr Al Jahadhamy, amesema kuwa atajenga msikiti mkubwa katika eneo la Zingiziwa-Chanika nje kidogo ya Jiji la Dar es salaam ambao utabeba zaidi ya watu 500.

Lissu aelezea mambo aliyoyafanya katika urais wake wa TLS!

Shambulio la risasi dhidi ya Tundu Lissu limesababisha rais huyo wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), atumikie nafasi hiyo kwa miezi sita baada ya kujeruhiwa vibaya.

Russian oppn leader detained, office raided amid protests!


MOSCOW: Russian police on Sunday detained opposition leader Alexei Navalny in Moscow as thousands rallied across the country against a March election expected to extend Vladimir Putin’s Kremlin term.

MBOWE AMVAA MWIGULU NCHEMA, SELEMAN JAFO KWA UBAGUZI!

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amefunguka na kulaani vikali kitendo alichofanya Waziri wa Mambo ya ndani pamoja na Waziri wa TAMISEMI kumpigia kampeni mgombea wa Ubunge wa CCM jimbo la Siha na kusema kauli zao zimejaa ubaguzi wa wazi wazi.

LOWASSA AMCHANA MTULIA...ATAKA ASIPEWE KICHWA!

Image result for LOWASSA
Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amefunguka na kuwataka wanachama na viongozi wa CHADEMA kuacha kumtaja taja mgombea Ubunge wa CCM Kinondoni Maulid Mtulia kwani mtu huyo ni wa hovyo hastaili kutajwa tajwa kwani kufanya hivyo ni kumpa kichwa. 

THINK ABOUT IT!


'Helpless anger' takes over Kabul!

  • There was a mix of helpless anger at the seemingly endless wave of attacks.
Kabul reacted in despair and fear on Sunday, a day after a suicide bomb killed more than 100 people and wounded at least 235 in the worst attack seen in the Afghan capital in months.

Two-faced car ordered off the road!

The head-turning vehicle, which took about three and a half months to build, has two engines, two steering wheels and two sets of pedals.- AFP
  • The head-turning vehicle took about three-and-a-half months to build.
A double-ended car owned by a septuagenarian mechanic from Indonesia has been ordered off the road, but he has not given up on the quirky creation just yet.

Apple set to bring users' health records to iPhone!

  • Health Records data is encrypted and protected with the user's iPhone passcode.
Apple has introduced a test update to its Health app to help users access their medical records on their iPhones. Patients from 12 different hospitals in the US will initially be able to view their medical records on their smartphones.

Google's AI-powered camera now available on its online store!


Google's "Clips" camera, which uses Artificial Intelligence (AI) to figure out when it should take a picture or video, is now available for purchase on the Google Store.

These are the world's most visited cities!


DUBAI: Man jailed for killing girlfriend after having sex with her!

  • She died after her head hit bathroom sink.
domestic helper, who strangled his girlfriend to death following an argument, was sentenced to life in jail on Sunday.

EXCLUSIVE INTERVIEW: Mtoto wa Nabii tito afunguka kuhusu baba yake


HAVING UNLIMITED IMAGINATIONS!

IT IS TRUE THAT, MUCH CAN BE DONE WITH LIMITED RESOURCES, BUT WITH UNLIMITED IMAGINATIONS!

Afghanistan yaituhumu Pakistan kwa kuwaunga mkono wapiganaji!


Utawala nchini Afghanistan, umeituhumu Pakistan kwa kuwaunga mkono wanamgambo ambao walisababisha vifo vya zaidi ya watu 95 katika mlipuko wa bomu wa kujitoa mhanga mjini Kabul.

Watu 158 wamejeruhiwa.

Unasema kwamba, shambulio hilo la jana Jumamosi, lililotekelezwa na kundi moja la wapiganaji la Haqqani, lililo na uhusiano mkubwa na lile la Taliban, na kuungwa mkono na Pakistan.

Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar awataka wananchi kuchangia damu kwa hiari!


NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Zanzibar, Dk. Abdulla Juma Mabodi akizungumza katika tamasha la uchangiaji wa damu iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mjini na Magharib, katika Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ulioko Kisonge,

BAADHI ya wananchi walioshiriki tamasha la uchangiaji damu wakifuatilia matukio mbalimbali yanayoendelea kwenye maeneo ya Kumbukumbu ya Mnara wa miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ulioko Kisonge. 
BAADHI ya waandaji wa tamasha la uchangiaji damu kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Wanawake na Vijana.

HEALTH: Hizi ndio Faida za kunywa maji yenye ndimu asubuhi!


Kunywa maji yasiyo na kitu wakati wa asubuhi huwapa tabu baadhi ya watu. Lakini maji yaliyotiwa ndimu kidogo huwa na radha nzuri zaidi.

Maji yenye ndimu yanafainyingi katika mwili wa binadamu kwani husaidia mambo mengi ikiwemo Mmeng’enyo mzuri wa chakula tumboni, pia huboresha kinga za mwili kwani ndimu au limai zina Vitamini C na potasiumu ikwa wingi.

Vile vile unywaji wa maji yenye ndimu husaidia kukinga  mwili na magonjwa kama saratani na kiharusi na pia husafisha mwili pamoja na damu. Maji yenye ndimu pia hurekebisha mfumo wa  sukari katika mwili wa binadamu kwani inafanya sukari kuwa katika kiwango kinachotakiwa na pia maji yenye ndimu yanasaidia kupunguza uzito wa binadamu na kuondoa harufu mbaya mdomoni.

Msichana ajiua baada ya kukosea kutuma meseji!

Binti mmoja nchini Uingereza mwenye umri wa miaka 17, Charlotte Guy, 17, ameamua kujiua baada ya kukosea kutuma meseji na kwenda kwa mpenzi wake badala ya rafiki yake.

Waziri Lukuvi atoa maagizo kwa halmashauri na wamiliki wa ardhi wote


Heavy rains trigger warnings of mudflows from Philippine volcano, thousands flee!


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Ashiriki Katika Hafla ya Chakula cha Mchana na Vijana na Wanafunzi Walioshiriki Halaiki Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar Amaan!





New job vacancies at Expo 2020 Dubai: How to apply!

  • Expo 2020 is looking for people to join the team and is keen to tap the best of world-class talent.
Expo 2020
Dubai is all set to welcome the world to connect minds and create the future, when it opens its doors on 20 October, 2020. This will be the first World Expo to take place in the Middle East, Africa or South Asia and bring a multitude of opportunities for businesses in construction, real estate, hospitality, tourism and aviation industries, and contracts worth billions of Dirhams will be signed.

I would be 'tougher' in Brexit talks than UK's May: Trump!

  • There have been tensions between the two leaders.
US President Donald Trump says he would take a "tougher" attitude toward Brexit negotiations than the approach now being used by British Prime Minister Theresa May.