dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, August 18, 2012

Mwezi Umeandama Zanzibar

Written by  //  18/08/2012  //  

Zanzibar rasmi kesho watasherehekea kumalizakwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan baada ya kukamilisha siku 29 za funga. Kutokana na taarifa zilizotangzwa na vyombo vyote vya habari vimeeleza kuwa mwezi muandamo umeonekana meoneo kadhaa ndani ya Tanzania.
Hivyo kesho ni siku ya furaha kwa Wazanzibar na wananchi wengine wa Afrika Mashariki, Afrika na dunia nzima kwa ujumla.
Ikumbukwe kuwa nchi nyingi ikiwemo Saudi Arabia pia zitasherehekea Sikuu hii baada ya kukamilisha siku 30 za kufunga.

Source: Mzalendo.net

No comments :

Post a Comment