Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, December 14, 2012

Mwanajeshi mstaafu adaiwa kuua mtoto mwenye ulemavu wa viungo.


Published on Dec 13, 2012
Mwanajeshi mstaafu Samwel Haule wa eneo la Amboni mafuriko jijini Tanga anadaiwa kumuua mtoto mlemavu wa viungo mwenye umri wa miaka 17 Risala Ally kwa kumkata kwa kisu sehemu za tumboni na kusababisha utumbo kumwagika hatua iliyoharakisha kifo chake muda mchache baada ya kufikishwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga Bombo.


No comments :

Post a Comment