zanglassworks

AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, September 7, 2013

Zanzibar Daima Online

Written by   //  07/09/2013 


1 comment :

  1. A befitting comment from a Mzalendo Reader!

    Makame Ame 07/09/2013 at 11:22am
    Naona gazeti limetawaliwa na ‘ uchafu’ wa CCM tu? Nilijiuliza lipi jipya ninalolipata hapa? Jee mzanzibari mwana CCM akisoma atapata picha gani juu ya msimamo wa gazeti hili? Kuna balance?
    Jambo moja nimeliona. Pengine ni mtizamo wa fikra za waandishi kuwa wana mhimili mmoja. Popote alipotajwa Seif Sharif au Nyerere ikiandikwa Maalim Seif au Mwalimu Nyerere. Pia wengine zimetumika title zao kama Dk. au Balozi. Lakini akina sisi mburumatari tunakatwa majina tu.
    Najiuliza huu ndio ustaarabu wetu wa kizanzibari wa kisasa? Najiuliza hata mzee wetu Aboud Jumbe tunamkata jina? Yeye hawezi kuwa Mzee? Sheikh ( ya utu uzima)? Maalim? Bwana?
    Heshima zetu ‘ na maadili yetu ya Kizanzibari yamekwenda wapi Ya Rabi?

    ReplyDelete