dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, September 11, 2014

AMREF NA KCB ZASHIRIKIANA KATIKA ELIMU ZA WAKUNGA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania (kushoto)Moezz Mir akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkazi wa Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako, jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akiongerea juu ya ushirikiano wao na benki hiyo katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na mtoto nchini.
Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania (kushoto)Moezz Mir akimkabidhi Mkurugenzi Mkazi wa Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako, hundi yenye thamani ya shilingi milioni 48. Kwa ajili ya kuwasomesha wakunga 10 ambao baada ya kupata elimu wataajiriwa katika vituo vya afya hasa vijijini ili kuwasaidia akinamama wanaohitaji huduma za uzazi.KCB na AMREF wametangaza ushirikiano katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na mtoto nchini, hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam, wapili kutoka kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB Christina Manyenye na Meneja msimaizi wa mifuko wa jamii wa Amref Lilian Nsemwa.( fund Raising Manager).
 
Mkurugenzi Mkazi wa Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako, akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani)wakati alipokuwa akiongelea juu ya ushirikiano wao na benki KCB Tanzania katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na motto nchini .Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania Moezz Mir na Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB Christina Manyenye wakimsikiza kwa makini.
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya KCB Tanzania Moezz Mir akiongele juu ya ushirikiano wao na Amref Heath Africa Tanzania katika kusaidia suala zima la Afya ya mama na motto nchini Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Amref Heath Africa Tanzania Dk. Festus Ilako, na Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki ya KCB Christina Manyenye.
Chanzo: Vijimamabo

No comments :

Post a Comment