Rais Jakaya Kikwete na Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, wakimfariji mjane wa marehemu Diwani wa Kata ya Yombo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, Iddi Mazongera, aliyefariki dunia juzi na kuzikwa jana katika makaburi ya Kichangani, Bagamoyo. Katikati ni mke wa Rais, Mama Salma. PICHA: IKULU
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment