Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete (kushoto), akiwa na mjumbe maalum wa Marekani katika Ukanda wa Maziwa Makuu, Thomas Perriello, baada ya mazungumzo yao kuhusu hali ya Burundi yaliyofanyika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. (Picha na Bashir Nkoromo).
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
No comments :
Post a Comment