Afrika Kusini imechukuwa uamuzi wa kumtoa balozi wake Israel kutoka na mauaji ya jeshi la Israel Ukanda wa Gaza ambapo watu 59 waliuawa na wengine zaidi ya 2300 kujeeuhiwa.Umuzi huo umechukuliwa na Afrika kama ishara ya kukemea madhila ya wapalestina , mauaji na ghasia zinazoendelea.
Katika tamko lililotolewa na balozi wa Afrika Kusini Sisa Ngobane limefahamisha kuwa Afrika Kusini inatolea wito jeshi la Israel kuacha kushambulia wapalestina katika ardhi yao bamoja na Ukanda wa Gaza.
Vile tamko hilo limelitaka jeshi la Isarel kuondoka katika maeneo ya wapalestina.
Katika tamko lililotolewa na balozi wa Afrika Kusini Sisa Ngobane limefahamisha kuwa Afrika Kusini inatolea wito jeshi la Israel kuacha kushambulia wapalestina katika ardhi yao bamoja na Ukanda wa Gaza.
Vile tamko hilo limelitaka jeshi la Isarel kuondoka katika maeneo ya wapalestina.
No comments :
Post a Comment