dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, May 15, 2018

BRAVO CAMARADE Cyril Ramaphosa!

Afrika Kusini yaamua kumuondoa balozi wake Israel

Afrika Kusini imechukuwa uamuzi wa kumtoa balozi wake Israel kutoka na mauaji ya jeshi la Israel Ukanda wa Gaza ambapo watu 59 waliuawa  na wengine zaidi ya 2300 kujeeuhiwa.Umuzi huo umechukuliwa na Afrika kama ishara ya kukemea madhila ya wapalestina , mauaji na ghasia zinazoendelea.

Katika tamko lililotolewa na balozi wa Afrika Kusini Sisa Ngobane limefahamisha kuwa Afrika Kusini inatolea wito jeshi la Israel kuacha kushambulia wapalestina katika ardhi yao bamoja na Ukanda wa Gaza.

Vile tamko hilo limelitaka jeshi la Isarel  kuondoka katika maeneo ya  wapalestina.

No comments :

Post a Comment