Mbunge John Mnyika ambae ni naibu katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA, kupitia ukurasa wake wa twitter amemtaka Rais magufuli kuitisha bunge maalum bila posho ili wakafanyie maboresho rasmu ya katiba ya Jaji mstaafu Joseph Sinde warioba, ombi hilo la Mnyika limetokana na kauli aliyoitoa jana Mh Rais kwenye mdahalo uliofanyika chuo kikuu cha Dar es salaam ambapo Mh Rais alisema hategemei kutenga hela ya posho kwa ajili ya bunge maalum.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


No comments :
Post a Comment