dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, November 3, 2018

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed Atembelea Miradi ya Maendeleo Kisiwani Pemba!




WAZIRI wa nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed, akichungulia chemchemu ya maji katika kijiji cha Kisima Pemba Tondooni Wilaya ya Micheweni, ambayo imehifadhiwa na kupitia mradi wa Kaya Masikini shehia hiyo ili maji yasipotee na kupata maji safi na salama
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed, akipata maelezo juu ya Chemchemu ya Maji Tondooni Wilaya ya Micheweni, kutoka mkuu wa Ufundi wa Mamlaka ya maji ZAWA Pemba, Juma Othaman wakati alipotembelea Chemchemu hiyo kujuwa sababu ambazo wananchi bado hawapati maji ipasavyo


WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed, akiakagua ujenzi wa nyumba ya makaazi ya Makamu wa Pili unavyoedelea katika kijiji cha Pagali Wilaya ya Chake Chake.

(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments :

Post a Comment