
Mbali na Saada Mkuya aliyeshindwa na Nassor Salim Ali katika nafasi ya Uwakilishi ambaye alipata kura 34 huku yeye akipata kura tisa mwingine aliyeangushwa katika kura hizo za maoni ni Mattar Ali Salum ambae alikuwa Mbunge wa Jimbo la Shauri Moyo Unguja.
No comments :
Post a Comment