Chama cha ACT-Wazalendo leo kimezindua Ilani ya Uchaguzi ya visiwani Zanzibar ambapo Maalim Seif Sharif Hamad ambaye anagombea Urais ni Mgeni Rasmi
Akitoa muhtasari wa Ilani, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Zanzibar, Othman Masoud amesema imegusa kila kitu na Katiba ya Zanzibar imesaidia kutoa mwongozo wa IlaniPia, ameeleza kuwa Ilani hiyo yenye Sura 19 inakusudia kurekebisha yanayopaswa kurekebishwa
Baadhi ya masuala yaliyojumuishwa katika Ilani ni Mamlaka ya Zanzibar, Muungano, Uongozi, Ulinzi na Usalama, Uhuru wa vyombo vya habari na Utalii
No comments :
Post a Comment