dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, August 20, 2012

AT LEAST HAWAONESHANI VIDOLE VYA KATI!!!
(WEWE NDIO ULIYOYATAKA YOTE HAYA - wasema hawa vikongwe!!!!)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa ZanzibarMaalim Seif Sharif Hamad (kulia) na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani AbeidKarume, kila mmoja akiwa na shauku ya kutaka kumweleza mwenzake chochote,walipokutana katika hoteli ya Bwawani kwa ajili ya Baraza la Eid-El-Fitri.Viongozi hawa ndio walioasisi maridhiano ya kisiasa Zanzibar na kupatikana Serikali ya Umoja wa Kitaifa.

No comments :

Post a Comment