dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, August 27, 2012


SENSA ZENJ
Zoezi la Sensa ya watu na makaazi likiendelea Mkoa wa Kusini Unguja


Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Haji Makungu Mgongo akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na zoezi la Sensa ya Watu na Makaazi ambapo hadi sasa linakwenda vizuri katika Wilaya hiyo.

Karani wa Sensa Wilaya ya Kusini Unguja Haji Ali Mjaka akiendelea na kazi ya kuwaandika watu katika hali ya Usalama na Amani na kupata ushirikiano mkubwa kwa wananchi.

Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja Ali Kassim Mohd (wapili kutoka kushoto)akipata maelezo kwa Msimamizi wa Sensa shehiya ya Marumbi Mwanahawa Shadhil Shauri kuhusiana na maendeleo ya zoezi la Sensa katika Shehiya hiyo.
Karani wa Sensa akiendelea na kazi zake kwa upole na utulivu kabisa, huku mwananchi akiendelea na shughuli zake za kawaida.
Karani wa Sensa Wilaya ya Kati Unguja Hassan Mussa Suleiman akiendelea na kazi ya kuwaandika watu katika hali ya Usalama na Amani na kupata ushirikiano mkubwa kwa wananchi.

PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Source: Mapara

No comments :

Post a Comment