Mwanahabari wa CNN Marc Lamont Hill afutwa kazi baada ya kusikika akitetea wapalestina katika hotuba yake Umoja wa Mataifa.
Mwanahabari huyo ambae amefutwa kazi na uongozi wa CNN alitoa hotuba yake Umoja wa Mataifa baada ya kutembelea maeneo ya wapalestina.
Mshauri wa kituo hicho cha kimataifa cha Marekani Barabara Levin hakutoa sababu za kueleweka kuhusu kufutwa kazi Marc Lamont Hill.
Mshauri huyo alifahamisha bila ya kutoa sababu kwa kusema kuwa kwa sasa Marc Lamont Hill sio mwahabari katika kituo cha CNN.
Marc Lamont Hill katika hotuba yake Umoja wa Mataifa amezungumza kuhusu madhila ya wapalestina baada ya kutembelea katika maeneo yanayokaliwa kimabavu na Israel.
Makundi ya misimamo mikali ya kiyahudi yalitoa wito CNN na chuo kikuu anachofundisha Marc Lamont Hill afutwe kazi.
Chuo hicho kimefahamisha kuwa alioyazungumza mwanahabari huyo Umoja wa Mataifa ni haki ya kikatiba yeye kama raia wa Marekani.
Mwanahabari huyo ambae amefutwa kazi na uongozi wa CNN alitoa hotuba yake Umoja wa Mataifa baada ya kutembelea maeneo ya wapalestina.
Mshauri wa kituo hicho cha kimataifa cha Marekani Barabara Levin hakutoa sababu za kueleweka kuhusu kufutwa kazi Marc Lamont Hill.
Mshauri huyo alifahamisha bila ya kutoa sababu kwa kusema kuwa kwa sasa Marc Lamont Hill sio mwahabari katika kituo cha CNN.
Marc Lamont Hill katika hotuba yake Umoja wa Mataifa amezungumza kuhusu madhila ya wapalestina baada ya kutembelea katika maeneo yanayokaliwa kimabavu na Israel.
Makundi ya misimamo mikali ya kiyahudi yalitoa wito CNN na chuo kikuu anachofundisha Marc Lamont Hill afutwe kazi.
Chuo hicho kimefahamisha kuwa alioyazungumza mwanahabari huyo Umoja wa Mataifa ni haki ya kikatiba yeye kama raia wa Marekani.
No comments :
Post a Comment