Mwanahabari wa CNN Marc Lamont Hill afutwa kazi baada ya kusikika akitetea wapalestina katika hotuba yake Umoja wa Mataifa.
Mwanahabari huyo ambae amefutwa kazi na uongozi wa CNN alitoa hotuba yake Umoja wa Mataifa baada ya kutembelea maeneo ya wapalestina.
Mshauri wa kituo hicho cha kimataifa cha Marekani Barabara Levin hakutoa sababu za kueleweka kuhusu kufutwa kazi Marc Lamont Hill.
Mshauri huyo alifahamisha bila ya kutoa sababu kwa kusema kuwa kwa sasa Marc Lamont Hill sio mwahabari katika kituo cha CNN.
Mwanahabari huyo ambae amefutwa kazi na uongozi wa CNN alitoa hotuba yake Umoja wa Mataifa baada ya kutembelea maeneo ya wapalestina.
Mshauri wa kituo hicho cha kimataifa cha Marekani Barabara Levin hakutoa sababu za kueleweka kuhusu kufutwa kazi Marc Lamont Hill.
Mshauri huyo alifahamisha bila ya kutoa sababu kwa kusema kuwa kwa sasa Marc Lamont Hill sio mwahabari katika kituo cha CNN.