Lazima ujiulize ya kwamba ni alama gani utaicha chini ya jua kabla hajafa? Kimsingi tunaambiwa na vitabu vya dini ya kwamba kila binadamu ni mavumbi na atarudi kuwa mavumbi, kauli hiyo inaashiria wazi hakuna atakayeishi milele katika ulimwengu wa mwili labda katika ulimwengu wa roho hii ina maana ya kwamba kila nafsi itaonja umaiti kwa wakati wake. Nisizungumze sana ila maana ibaki pale pale ya kwamba utaacha Alana gani siku ukifa?
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Sunday, September 30, 2018
Brexit has cost Britain 500m pounds a week, says study!
Brazilian women rally against presidential frontrunner!
Macedonia votes on new name in bid to end Greek controversy!
$10bn Duqm petchem complex to be Oman’s biggest project!
MAMBO ASIYOYATAKA RAIS WETU HAYA HAPA!
Worker gets sacked for giving birth to third child
- The petitioner, Tanvi Sodaye, began working for the states Integrated Child Development Services (ICDS) scheme in 2002.
The petitioner, Tanvi Sodaye, began working for the states Integrated Child Development Services (ICDS) scheme in 2002 and was promoted to the post of an Anganwadi Sevika in 2012.
Watching violent content on TV may make teenagers aggressive!
- The findings are based on an online survey.
The findings, published online in the journal Aggressive Behavior, suggest that parental monitoring help to protect against aggressive behaviour.
Live long, shed some extra weight!
- Health awareness is a must and physical well-being is directly linked to happiness.
YouTube videos show 'how to hack Facebook'!
- Social networking giant had reset the access tokens of the almost 50 million accounts.
Hours after Facebook revealed the breach on Friday, some YouTube videos, which were seen several thousand times, described a method similar to the one used by the hackers to get access to the millions of Facebook accounts, The Telegraph reported on Saturday.
The legendary entrepreneur!
- Ram Buxani is no ordinary businessman. He is an institution for people who are enterprising and have a vision for the future.
13 dead in Iran after drinking poisonous alcohol!
- 60 other people are currently undergoing dialysis therapy for kidney problems after drinking.
Pir Hossein Kolivand, the department head, said nine of the victims were from the southern province of Hormuzgan, two from the central province of Alborz and two others from North Khorasan Province, Xinhua reported.
Saudi King, Trump discuss oil prices and global economy!
- The two leaders also discussed developments in the region and the world.
During the call, the two leaders discussed the distinguished relations and means of developing them in the light of the strategic partnership between the two countries. They also discussed developments in the region and the world.
The efforts to maintain oil supplies to ensure the stability of the energy market and the growth of the global economy were also reviewed during the call.
At least 832 dead in Indonesia quake-tsunami disaster!
- The national disaster agency warned the toll was likely to rise.
So far, it said, almost all the deaths had been recorded in Palu, two days after waves 1.5 metres (five feet) high slammed into the city of 350,000 on Sulawesi island.
Eleven deaths had been recorded in the region of Donggala to the north of Palu, it said.
----
Nearly 400 people were killed when a powerful quake sent a tsunami barrelling into the Indonesian island of Sulawesi, officials said Saturday, as hospitals struggled to cope with hundreds of injured and rescuers scrambled to reach the stricken region.
US-China trade war winner: Brazil soybean exports!
- Brazil is a surprising winner in global trade war
- Does he think this could be a long-term win for Brazil?
China, which uses one-third of the world’s soybeans, imported 89% of its soybeans from the U.S. and Brazil last year, according to the American Farm Bureau Federation. And since China has slapped a 25% tariff on U.S. soybeans in retaliation for tariffs levied by U.S. President Donald Trump on China goods, that percentage will likely shift to Brazil. China has already become less reliant on the U.S. for soybeans.
Dubai International Airport operating as normal!
- Questionable reports rebuffed, services operating without interruption.
"With regards to reports by questionable sources this morning, Dubai Airports can confirm that Dubai International (DXB) is operating as normal without any interruption," said an airport spokesman.
Saturday, September 29, 2018
FESTIVAL OF LIGHTS!
A pedestrian walks beneath lanterns hung up to celebrate the Mid-Autumn festival in Hong Kong, China, on Saturday.
Dubai luxury at a bargain!
End-users are seeking properties in prime locations such as Downtown and the Palm.
- Is it the best time to buy luxury properties as prices hit bottom?
"In certain markets, this is certainly close to the bottom, however, there is still some room for prices to decrease. In locations such as the Palm Jumeirah villa market, we are seeing that the market is very much there [or there about] and as a result, we are seeing the market begin to pick up in terms of transactions," says Taimur Khan, research manager, Knight Frank.
Saudi Arabia plans to build 'Riviera of the Middle East'!
- The development will feature hotels, private villas, an arts academy and a yacht club.
The project called "Amaala" would be "a natural extension of the Mediterranean Sea, and dubbed the Riviera of the Middle East", the country's top sovereign wealth fund said in a statement released by the information ministry.
At conference, premier May faces party divided by Brexit!
Thousands protest in Barcelona for and against Catalan independence!
After years in jail, ex-ETA militants still root for independence!
“When someone comes to me and tells me ‘you killed’, it’s indisputable,” says Lopez Ruiz, 64, who agreed to speak with AFP along with two other former members of the Basque separatist group, Oihana Garmendia and Carlos Saez de Eguilaz.
Danish police call off hunt for black Volvo after search!
RAINBOW FOUNTAIN!
A rainbow is created by the sunlight in the Alster fountain in Hamburg, Northern Germany, on Saturday.
Watu 380 wafariki katika tetemeko la ardhi!
Watu zaidi ya 380 wamethibitishwa kufa baada ya tsunami kusababisha tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa richa 7.5 lilopiga mji wa Indonesia hapo jana.
Upepo mkali ulivuma kutoka Palu katika kisiwa cha Sulewesi kwa mita 3.
Video inayoonekana kwenye mitandao ya kijamii inaonyesha jinsi watu walivyokuwa wakipiga kelele huku wakikimbia kwa hofu.
Upepo mkali ulivuma kutoka Palu katika kisiwa cha Sulewesi kwa mita 3.
Video inayoonekana kwenye mitandao ya kijamii inaonyesha jinsi watu walivyokuwa wakipiga kelele huku wakikimbia kwa hofu.
N Korea says ‘no way’ it will disarm without trust in US!
Addressing the United Nations General Assembly, Ri Yong-Ho accused Washington of creating a deadlock in talks on denuclearisation of the Korean peninsula.
Russia vows no safe passage for militants in Idlib!
Under the deal, Turkey agreed to separate opposition fighters from hardline sections which belong to groups branded as terrorists by the United Nations, but the fate of those extremists remains uncertain.
CHADEMA YATAKA TAKUKURU ICHUNGUZE WABUNGE WAKE KUHAMIA CCM!
Uamuzi wa aliyekuwa Mbunge Serengeti, Ryoba Chacha kutangaza kujiuzulu ubunge na kuhamia CCM, umekifanya chama chake cha zamani cha Chadema kuitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza kuona kama kuna aina mpya ya rushwa ya madaraka ambayo inawavuta wabunge wengi wa chama hicho kukimbilia chama tawala.
Ombi hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Itikadi, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema.
MTOTO WA RAIS AGOMA KULA!
Mtoto wa Rais wa zamani wa Angola, José Eduardo dos Santos, Mkurugenzi wa zamani wa mfuko wa kitaifa nchini humo, Jose-Filomeno dos Santos ambaye amewekwa rumande tangu wiki hii baada ya kutuhumiwa kwa makosa ya ubadhirifu na ulaji rushwa, ameanza mgomo wa kula.
Vyombo vya habari nchini humo vimekariri vyanzo kutoka jela na kunukuliwa na Shirika la Habari la AFP juu ya hatua ya mtoto huyo kukataa kula chochote akiwa rumande.
CCM yawaonya makada wake wanofanya kampeni kurithi nafasi ya Rais Shein!
Kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa kimewaonya baadhi ya makada na wanachama wake ambao wameanza shughuli za kampeni kwa ajili ya kurithi nafasi ya Rais wa sasa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein kwa madai jambo hilo ni kinyume na taratibu a chama hicho.
Kupitia taarifa iliyotolewa na chama hicho kupitia kikao maalum cha kamati kuu kilichoketi leo septemba 29 imesema "inatoa karipio la mwisho kwa wana CCM, kwa kukiuka kanuni za uchaguzi kwa kufanya kampeni za kificho na za wazi za Urais wa Zanzibar na kwenda kinyume na kanuni na chama hicho."
Kupitia taarifa iliyotolewa na chama hicho kupitia kikao maalum cha kamati kuu kilichoketi leo septemba 29 imesema "inatoa karipio la mwisho kwa wana CCM, kwa kukiuka kanuni za uchaguzi kwa kufanya kampeni za kificho na za wazi za Urais wa Zanzibar na kwenda kinyume na kanuni na chama hicho."
Hizi ndizo sababu za Rais Magufuli kumtumbua Waziri!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ameeleza sababu ya kutengua uteuzi wa aliyekuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Suzan Kolimba ni kuwa kiongozi huyo alishindwa kuwasimamia Wakurugenzi ndani ya Wizara hiyo.
Akizungumza wakati akimuapisha Naibu Waziri mpya wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro Rais Dkt Magufuli amesema wizara hiyo imekuwa haimridhishi kwa namna ambavyo Naibu Waziri aliyepita badala ya kuwasimamia wakurugenzi wa wizara na kusema yeye ndio alikuwa akisimamiwa na watendaji wake.
Akizungumza wakati akimuapisha Naibu Waziri mpya wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro Rais Dkt Magufuli amesema wizara hiyo imekuwa haimridhishi kwa namna ambavyo Naibu Waziri aliyepita badala ya kuwasimamia wakurugenzi wa wizara na kusema yeye ndio alikuwa akisimamiwa na watendaji wake.
Rais Magufuli Awapa Onyo Kali Mabalozi!
Rais John Magufuli, amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nchi za nje, kufanya kazi waliyotumwa au wajiandae.
Akizungumza baada ya kumwapisha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Damas Ndumbaro aliyemteua wiki hii baada ya kutengua uteuzi wa Dk. Susan Kolimba, amesema hatamvumilia balozi asiyefanya kazi.
Akizungumza baada ya kumwapisha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Damas Ndumbaro aliyemteua wiki hii baada ya kutengua uteuzi wa Dk. Susan Kolimba, amesema hatamvumilia balozi asiyefanya kazi.
Wajibu wa kupeleka madaraka kwa wananchi ni suala endelevu lahitaji ustahimilivu!
Wajibu wa kupeleka madaraka kwa wananchi ni suala endelevu na linalohitaji ustahamilivu katika kukabiliana na changamoto mbali mbali zinazojitokeza.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ, Haji Omar Kheir katika ufunguzi wa tamasha la 12 la Asasi za Kiraia, lililofanyia katika ukumbi wa Sanaa, Rahaleo mjini hapa.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ, Haji Omar Kheir katika ufunguzi wa tamasha la 12 la Asasi za Kiraia, lililofanyia katika ukumbi wa Sanaa, Rahaleo mjini hapa.
CCM yamuweka hadharani mgombea wake uchaguzi mdogo Zanzibar!
Leo Septemba 29 Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imempitisha Ramadhani Harlin Chande kuwa mgombea wa uwakilishi wa Jang’ombe katika uchaguzi mdogo utakaofanyika Oktoba 12.
Taarifa hiyo iliyotelewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole imesema kamati hiyo chini ya Mwenyekiti Rais John Magufuli imeketi leo katika ofisi ndogo za chama hicho Lumumba jijini Dar es Salaam.
Taarifa hiyo iliyotelewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole imesema kamati hiyo chini ya Mwenyekiti Rais John Magufuli imeketi leo katika ofisi ndogo za chama hicho Lumumba jijini Dar es Salaam.
RAIS SHEIN AFANYA UTEUZI HUU!
Friday, September 28, 2018
MV TABU TUPU - ANOTHER DISASTER IN-WAITING FOR TANZANIANS TO BRAVE!!!
(BELOW ARE PICS, NOT VIDEO CLIPS)
PATA ZAIDI HAPA:
https://www.jamiiforums.com/threads/video-ukara-hii-mv-tabu-tupu-tujiandae-kwa-jingine.1487216/#post-28545018
RPC AAMURU ASKARI KUPIGIA SALUTI WABUNGE...WASIWACHUKULIE WA KAWAIDA!
Kamanda wa Polisi mkoani Katavi, Damas Nyanda, ameagiza askari polisi watakaokaidi sheria ya kuwapigia saluti wabunge wa mkoa huo, wachukuliwe hatua.
Agizo hilo alilitoa jana wakati akizungumza na askari polisi wa mkoa huo wakati wa hafla ya kupokea msaada wa samani za ofisi.
Samani hizo ni meza tatu na viti 17 vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini, Sebastiani Kapufi, kwa ajili ya Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Mpanda.
PCs defend plan to allow marijuana smoking in public places!
Finance Minister Vic Fedeli says municipalities will have the power to pass bylaws restricting where people can smoke marijuana, but that otherwise the rules will mirror those that apply to the public use of tobacco.
The dramatic reversal from the previous Liberal government’s decision to outlaw pot smoking in public followed a summer of consultations with police, health officials, municipalities and First Nations, Vic Fedeli said Thursday.
Trump 'looks forward' to visiting India: US official!
- PM Modi has invited Trump to be the chief guest at the Republic Day celebrations next year.
"I am certain that President Trump looks forward to being able to visit India at an appropriate time," Alice Wells, the Principal Deputy Assistant Secretary for South and Central Asia, told IANS in an interview.
Prime Minister Narendra Modi has invited Trump to be the chief guest at the Republic Day celebrations next year.
Imran Khan urges Pakistanis to crowdfund $14 billion for dams!
- If it succeeds, it would be the largest crowdfunding effort in history.
But Imran Khan wants Pakistanis to crowdfund a whopping $14 billion for desperately needed dams, a plea capitalising on nationalist fervour but ridiculed by detractors as unrealistic.
If it succeeded it would be the largest crowdfunding effort in history -- shattering the current Kickstarter record 700 times over.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)